Nauli

Mhache

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2008
Posts
345
Reaction score
25
Ilitokea katika eneo fulani nauli ikapanda. Chakushangaza ni kwamba nauli kwa wanaume haikupanda. Kabla nauli ilikuwa ni shilingi 15,000 kwa wanaume na wanawake. Ilipopanda wanaume wakatakiwa kuendelea kulipa shilingi 15,000 wakati wanawake walipandishiwa na kuwa shilingi 25,000. Nilipouliza kwa nini kuwe na tofauti.

Jibu: Wanaume gari likikwama huwa wanasukuma wanawake wao wanabaki ndani ya gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…