MWALIM WA KIJIJINI
Member
- Aug 22, 2013
- 66
- 66
Kariakoo mpaka kufikia jana bei ilikuwa Sh. 65,000/-,Wakuu habari za jioni naomba kuuliza kwa Dar ntapata wapi duka linalouza ream kwa bei ya Jumla
Shukrani mkuu hii bei inafanana na barabara ya nane DodomaKariakoo mpaka kufikia jana bei ilikuwa Sh. 65,000/-,
Na maduka mengine ni Sh. 70,000/-.
nipe oda yako ntaongea na Mshana Jr kupitia platforms zetu "Pwani Platforms" kunachimbo mara ya mwisho bei ilisimama hapa 40 500//=......na hiyo ndo ilikuwa bei ya juuShukrani mkuu hii bei inafanana na barabara ya nane Dodoma
Ream aina gani hio mkuu?nipe oda yako ntaongea na Mshana Jr kupitia platforms zetu "Pwani Platforms" kunachimbo mara ya mwisho bei ilisimama hapa 40 500//=......na hiyo ndo ilikuwa bei ya juu
kama uko ndani ya Dar utalipia just services fee ya Pwani Platforms ambayo haitozidi Tsh.10 000
mondi ratatrimReam aina gani hio mkuu?
shuleni wanapendelea zaidi Double A
Mmh! kariakoo Double A karibia zote kazishika msomali kwa bei ya tsh 60,000/=Ream aina gani hio mkuu?
shuleni wanapendelea zaidi Double A
Elfu 60 ni bei ya dozen mkuu?Mmh! kariakoo Double A karibia zote kazishika msomali kwa bei ya tsh 60,000/=
Ngoja nimuulize mshana kama hii habari ni ya kweli?nipe oda yako ntaongea na Mshana Jr kupitia platforms zetu "Pwani Platforms" kunachimbo mara ya mwisho bei ilisimama hapa 40 500//=......na hiyo ndo ilikuwa bei ya juu
kama uko ndani ya Dar utalipia just services fee ya Pwani Platforms ambayo haitozidi Tsh.10 000
McR naweza kupata rim za biashara? , nipo arusha.. Please check me 0712363358nipe oda yako ntaongea na Mshana Jr kupitia platforms zetu "Pwani Platforms" kunachimbo mara ya mwisho bei ilisimama hapa 40 500//=......na hiyo ndo ilikuwa bei ya juu
kama uko ndani ya Dar utalipia just services fee ya Pwani Platforms ambayo haitozidi Tsh.10 000
Ninahitaji pia, utanipa mrejesho please..!
Elfu 60 ni bei ya dozen mkuu?
Mmmmmh, jaribu ku follow inbox labda. Maana kila mtu na jimbo lake huwezi juaNasubiri jibu la hapa, pia huyo aliyesema kuna chimbo la 40500 ni dozen au zinakuaje?
Kwa kibox zinakaa 6csNasubiri jibu la hapa, pia huyo aliyesema kuna chimbo la 40500 ni dozen au zinakuaje?
Nahitaji rim papersMmh! kariakoo Double A karibia zote kazishika msomali kwa bei ya tsh 60,000/=