I was wondering! Sijawahi kusikia huyo daktari anapatikana wapi na anatibu nini. Well, Boss, itabidi tufikirie kuwa na madaktari wa aina hiyo pia. Tukizidiwa tutatibiwa na nani?
Tatizo humu JF hatujuani na wala hatuna haja ya kujuana isipokuwa inapofikia mahali ambapo mtu anaingilia fani na kueleza vitu ambavyo sivyo ndipo uvumilivu unapotushinda.
I am a Medical Officer (MD degree holder from Muhimbili University Of Health and Allied Sciences - MUHAS); Dr. Y. Kapona, an Obs/Gyn specialist with a sub-speciality in Male reproductive system (fertility, impotence etc) - he was my mentor when I was a fourth year Medical student since six (6) years ago in Firm II in 2006). Mnataka tuwapatie ushauri gani enyi waTanzania mlio na imani haba, mliojaaliwa kupata huduma hizi bure bila malipo? Sehemu zingine kupata ushauri tu kama huu unalipia jamani! Duh! When the man turns out to be infertile
ooh, kumbe ana hiyo sub-specialty? he is my gynae bt i ddnt know that. ila hatibu bure banaa, consultation tu 20,000/= tshs?!
asante kwa kutujuza, grateful to have u here dr
duh.kidume unakivulia nguo na unakilipa 20,000 ?????
nipo kwenye wrong bussiness kwa kweli lol
u got an evil mind, u know that? its nt funny kuwa gynae aisee, haina tofauti na muuza samaki,lol!
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:Kama unazo nakuomba uache
1.ubugiaji wa tumbaku .
2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kujisaidia kwa njia ya mkono.
6.kuwa na mawazo kupita kiasi.
7.kufanya kazi ngumu.
TIBA YAKE:
chukua mbegu za tikiti maji zikaange halafu zitwange ili zitoe unga, chukua juici ya kitunguu thaumu lita moja na asali lita moja changanya pamoja juisi ya kitunguu thaumu na asali weka na vijiko kumi vikubwa vya unga wa tikiti maji koroga vizuri na uwe unakunya dawa hii kikombe kimoja cha kahawa mara tatu kila siku kwa muda wa wiki moja.
muuza samaki????uwiiii.....kumbe sisi mnatuletea mkiwa meshaziparura ehh????lol
but wanalipwa kwa kuona vitu ambavyo wengine wanavilipia....lol....
ooh, kumbe ana hiyo sub-specialty? i still dont believe u though, urologist ndo the right person for impotence issues. male reproductive system tunasoma secondary pia, should we call ourselves super specialists? dr kapona is my gynae bt i ddnt know that. ila hatibu bure banaa, consultation tu 20,000/= tshs?!
asante kwa kutujuza, grateful to have u here dr. shld i give u my cv too?be warned it is shallow...