Nauliza hivi

Nauliza hivi

SHIJA K.

Senior Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
120
Reaction score
21
Hivi kwanini vyama vyote vitatu vinavyopinga kuwa zanzibar hawakushirikishwa kwenye mchakato wa katiba vilikutana na shura ya maimamu peke yao na wakristo wakaachwa solemba hv ni kwanini hawakukutana na baraza au chombo kinachowawakilisha wakristo huko zanzibar? Kwanini waislam wamekutana nao lakini wakristo huko zanzibar wakatengwa ili hali nao wapo huko zanzibar? naomba ufafanuzi hasa kwa viongozi hao wa vyama vya kisiasa sababu iliyowafanya wawatenge wakristo huko zanzibar??
 
Back
Top Bottom