asante kwa marekebisho ya lugha!Obama wa Bongo kama umeshaajiriwa shukuru Mungu lakini kweli pale TaESA pana mambo pale. Yule mteuliwa ni swahiba wa mteua kwa hiyo lazima ajaze watoto wa HIGH TABLE.
Kisha nimegeuka mwalimu kidogo kwenye mada yako hapo juu angalia herufi hizo nyekundu.
asante kwa marekebisho ya lugha!
kitu nilicho sisitiza hapa ,ni hii tabia ya sisi tuliokosa kazi kutoa lawama!kupita kiasi
ni kweli kukaa mtaani kunatuuma sana lakini isiwe sababu ya kutukana na kudhihaki watu