Nauliza jamani!

Shery

Member
Joined
Jun 16, 2011
Posts
45
Reaction score
3
Habari zenu JF!naomba kuuliza jamani,mwenye ufahamu kuhusu application za diploma ktk fani za afya kupitia wizara ya afya zinatoka lini na je kama mtu atachaguliwa kusomea clinical officer(tabibu) atasoma kwa miaka mingapi?hapa namaanisha matokeo ya application zilizofanywa mwezi wa 4/5 mwaka huu.NAWASILISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…