Zitto Kabwe: Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Serikali iulizwe Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?

Zitto Kabwe: Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Serikali iulizwe Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?

Doctor Mama Amon

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,089
Reaction score
2,725
1741592338795.png




Ameandika Zitto Kabwe kupitia X:

zitto.png


zitto 2.png

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
Nimeona mjadala mkali kuhusu Tanzania kununua Umeme kutoka Ethiopia. Bahati mbaya mjadala umejikita kwenye umbali (distances). Ni muhimu kuelewa biashara katika sekta ndogo ya Umeme.

[Watu wanaonekana kuuliza kwamba, kama umeme unaleta hasara kutokana na kusafirishwa umbali mrefu, huo umeme kutoka Ethiopia kuja Tanzania kupitia Kenya hausababishi harsara kwa sababu ya upotevu?]

Kwenye biashara ya umeme (cross border power trade) ukinunua umeme kutoka nchi A umeme huo huusafirishi mpaka nchi B.

Umeme unawekwa pamoja (power pool) kisha nchi zina 'trade' kati ya 'surplus countries' na 'deficit countries'.

Mfano Tanzania ikinunua 100MW kutoka Ethiopia, Ethiopia inaweka umeme huo kwenye gridi ya Kenya na Kenya inaipa Tanzania 100MW zote katika Kituo cha nguvu ya umeme kilichopo mpakani.

Kwa maana hiyo Tanzania inapokea 100MW Namanga mkoa wa Arusha. Tanzania haichukui 100MW nchini ethiopia kwenye chanzo na kuusafirisha mzigo kama gunia la viazi kwenye lori, la hasha.

Tanzania inachukua mzigo wake mpakani. Ni kama unapotuma pesa kwa M-Pesa. Pesa zile hazitembei kutoka wakala mmoja kwenda mwengine. Unachukua kutoka float ya wakala anayekupa. Umeme ni hivyo hivyo.

Tanzania hiyo hiyo ikizalisha umeme Rufiji inausafirisha mpaka Arusha kwa sababu ni gridi moja.

Transmission loss ya kutoka Rufiji mpaka Arusha yaweza kufikia 15-20% ilhali hakuna significant transmission loss kutoka Namanga kwa sababu umeme unaingia kwenye matumizi moja kwa moja kwa kupozwa kwenye power stations kutoka 400kv mpaka 66kv mpaka 33kv mpaka 11kv za majumbani. Hoja ya msingi inayopaswa kujibiwa na Serikali @MsigwaGerson ni haya:
  1. Je, Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?
  2. Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Tanzania inapeleka wapi ziada?
  3. Je tukinunua umeme ethiopia na sisi kuuza kwa nchi jirani tutakuwa 'net exporters' au 'net importers' wa umeme?
 
Kwenda visiwani Lake Victoria na kwa submarine cable mpya kwa umeme wa 132kV - kasema Mjapani na kampuni yake
 
Natarajia kuona mikoa ya kaskazini ikipata nafuu ya kulipia umeme, maana unanunuliwa kwa senti 7.07 za kimarekani kutoka Ethiopia; au siwo ndiwo!??
 
View attachment 3265433



Ameandika Zitto Kabwe kupitia X:

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
Nimeona mjadala mkali kuhusu Tanzania kununua Umeme kutoka Ethiopia. Bahati mbaya mjadala umejikita kwenye umbali (distances). Ni muhimu kuelewa biashara katika sekta ndogo ya Umeme.

[Watu wanaonekana kuuliza kwamba, kama umeme unaleta hasara kutokana na kusafirishwa umbali mrefu, huo umeme kutoka Ethiopia kuja Tanzania kupitia Kenya hausababishi harsara kwa sababu ya upotevu?]

Kwenye biashara ya umeme (cross border power trade) ukinunua umeme kutoka nchi A umeme huo huusafirishi mpaka nchi B.

Umeme unawekwa pamoja (power pool) kisha nchi zina 'trade' kati ya 'surplus countries' na 'deficit countries'.

Mfano Tanzania ikinunua 100MW kutoka Ethiopia, Ethiopia inaweka umeme huo kwenye gridi ya Kenya na Kenya inaipa Tanzania 100MW zote katika Kituo cha nguvu ya umeme kilichopo mpakani.

Kwa maana hiyo Tanzania inapokea 100MW Namanga mkoa wa Arusha. Tanzania haichukui 100MW nchini ethiopia kwenye chanzo na kuusafirisha mzigo kama gunia la viazi kwenye lori, la hasha.

Tanzania inachukua mzigo wake mpakani. Ni kama unapotuma pesa kwa M-Pesa. Pesa zile hazitembei kutoka wakala mmoja kwenda mwengine. Unachukua kutoka float ya wakala anayekupa. Umeme ni hivyo hivyo.

Tanzania hiyo hiyo ikizalisha umeme Rufiji inausafirisha mpaka Arusha kwa sababu ni gridi moja.

Transmission loss ya kutoka Rufiji mpaka Arusha yaweza kufikia 15-20% ilhali hakuna significant transmission loss kutoka Namanga kwa sababu umeme unaingia kwenye matumizi moja kwa moja kwa kupozwa kwenye power stations kutoka 400kv mpaka 66kv mpaka 33kv mpaka 11kv za majumbani. Hoja ya msingi inayopaswa kujibiwa na Serikali @MsigwaGerson ni haya:
  1. Je, Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?
  2. Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Tanzania inapeleka wapi ziada?
  3. Je tukinunua umeme ethiopia na sisi kuuza kwa nchi jirani tutakuwa 'net exporters' au 'net importers' wa umeme?
Tayari tuna mkataba wa kuuza umeme Zambia na Rwanda

Kuhudi zinafanya kuu ganisha grid na Uganda,Malawi,Burundi na Mozambique
 
View attachment 3265433



Ameandika Zitto Kabwe kupitia X:

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
Nimeona mjadala mkali kuhusu Tanzania kununua Umeme kutoka Ethiopia. Bahati mbaya mjadala umejikita kwenye umbali (distances). Ni muhimu kuelewa biashara katika sekta ndogo ya Umeme.

[Watu wanaonekana kuuliza kwamba, kama umeme unaleta hasara kutokana na kusafirishwa umbali mrefu, huo umeme kutoka Ethiopia kuja Tanzania kupitia Kenya hausababishi harsara kwa sababu ya upotevu?]

Kwenye biashara ya umeme (cross border power trade) ukinunua umeme kutoka nchi A umeme huo huusafirishi mpaka nchi B.

Umeme unawekwa pamoja (power pool) kisha nchi zina 'trade' kati ya 'surplus countries' na 'deficit countries'.

Mfano Tanzania ikinunua 100MW kutoka Ethiopia, Ethiopia inaweka umeme huo kwenye gridi ya Kenya na Kenya inaipa Tanzania 100MW zote katika Kituo cha nguvu ya umeme kilichopo mpakani.

Kwa maana hiyo Tanzania inapokea 100MW Namanga mkoa wa Arusha. Tanzania haichukui 100MW nchini ethiopia kwenye chanzo na kuusafirisha mzigo kama gunia la viazi kwenye lori, la hasha.

Tanzania inachukua mzigo wake mpakani. Ni kama unapotuma pesa kwa M-Pesa. Pesa zile hazitembei kutoka wakala mmoja kwenda mwengine. Unachukua kutoka float ya wakala anayekupa. Umeme ni hivyo hivyo.

Tanzania hiyo hiyo ikizalisha umeme Rufiji inausafirisha mpaka Arusha kwa sababu ni gridi moja.

Transmission loss ya kutoka Rufiji mpaka Arusha yaweza kufikia 15-20% ilhali hakuna significant transmission loss kutoka Namanga kwa sababu umeme unaingia kwenye matumizi moja kwa moja kwa kupozwa kwenye power stations kutoka 400kv mpaka 66kv mpaka 33kv mpaka 11kv za majumbani. Hoja ya msingi inayopaswa kujibiwa na Serikali @MsigwaGerson ni haya:
  1. Je, Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?
  2. Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Tanzania inapeleka wapi ziada?
  3. Je tukinunua umeme ethiopia na sisi kuuza kwa nchi jirani tutakuwa 'net exporters' au 'net importers' wa umeme?
Good!
 
View attachment 3265433



Ameandika Zitto Kabwe kupitia X:

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
Nimeona mjadala mkali kuhusu Tanzania kununua Umeme kutoka Ethiopia. Bahati mbaya mjadala umejikita kwenye umbali (distances). Ni muhimu kuelewa biashara katika sekta ndogo ya Umeme.

[Watu wanaonekana kuuliza kwamba, kama umeme unaleta hasara kutokana na kusafirishwa umbali mrefu, huo umeme kutoka Ethiopia kuja Tanzania kupitia Kenya hausababishi harsara kwa sababu ya upotevu?]

Kwenye biashara ya umeme (cross border power trade) ukinunua umeme kutoka nchi A umeme huo huusafirishi mpaka nchi B.

Umeme unawekwa pamoja (power pool) kisha nchi zina 'trade' kati ya 'surplus countries' na 'deficit countries'.

Mfano Tanzania ikinunua 100MW kutoka Ethiopia, Ethiopia inaweka umeme huo kwenye gridi ya Kenya na Kenya inaipa Tanzania 100MW zote katika Kituo cha nguvu ya umeme kilichopo mpakani.

Kwa maana hiyo Tanzania inapokea 100MW Namanga mkoa wa Arusha. Tanzania haichukui 100MW nchini ethiopia kwenye chanzo na kuusafirisha mzigo kama gunia la viazi kwenye lori, la hasha.

Tanzania inachukua mzigo wake mpakani. Ni kama unapotuma pesa kwa M-Pesa. Pesa zile hazitembei kutoka wakala mmoja kwenda mwengine. Unachukua kutoka float ya wakala anayekupa. Umeme ni hivyo hivyo.

Tanzania hiyo hiyo ikizalisha umeme Rufiji inausafirisha mpaka Arusha kwa sababu ni gridi moja.

Transmission loss ya kutoka Rufiji mpaka Arusha yaweza kufikia 15-20% ilhali hakuna significant transmission loss kutoka Namanga kwa sababu umeme unaingia kwenye matumizi moja kwa moja kwa kupozwa kwenye power stations kutoka 400kv mpaka 66kv mpaka 33kv mpaka 11kv za majumbani. Hoja ya msingi inayopaswa kujibiwa na Serikali @MsigwaGerson ni haya:
  1. Je, Umeme wa ziada tunaozalisha tunaupeleka wapi?
  2. Kama ambavyo Ethiopia inauza umeme wake wa ziada, Tanzania inapeleka wapi ziada?
  3. Je tukinunua umeme ethiopia na sisi kuuza kwa nchi jirani tutakuwa 'net exporters' au 'net importers' wa umeme?
Hujulikani Jinsia yako kabisa.
 
Mchi inaendeshwa kwa falsafa ya hadaa na uwongo. Hayo maneno ya uwepo wa umeme wa ziada, ni sehemu tu ya hiyo falsafa ya hadaa na uwongo ya CCM, ya nyakati zote.

Watu wengine mpaka wanaropoka eti ziada ya umeme wa Tanzania utasafirishwa mpaka Msumbiji!! Hawa watu wanaijua Msumbiji au wametopea kwenye uujinga? Msumbiji ina kiasi cha umeme mwingi wa ziada, na wanazalisha umeme mwinhi, tena wa uhakika kuizidi Tanzania., ingawa population yao ni karibia nusu ya population ya Tanzania.


How much electricity generation capacity does Mozambique have?

Mozambique reached a total installed capacity of 2,799 MW by the end of 2022, from which 78% corresponds to hydropower, 16% to gas, 4% to heavy fuel oil (HFO), and 2% to solar. The installed capacity corresponds 39% to EDM and 18% to IPP.20 Jun 2023.

How much electricity generation capacity does Tanzania have?

Tanzania is endowed with diverse energy sources including biomass, natural gas, hydro, coal, geothermal, solar, wind, and uranium, much of which is untapped. Tanzania's total energy installed capacity is 1,938.35 MW as of 31st December 2023.
 
Hujulikani Jinsia yako kabisa.
Kwani jinsia ya moyo wako ni ipi?

Jinsia ya mapafu yako ni ipi?

Jinsia ya ini lako ni ipi?

Jinsia ya figo zako ni ipi?

Jinsia ya bandama yako ni ipi?

Jinsia ya mifupa yako ni ipi?


Jinsia ya masikio yako ni ipi

Jinsia ya pua yako ni ipi?

Na jinsi ni kitu gani kwa mtazamo wako?

Jitahidi kujitenga na ugonjwa wa akili wa ujenitalia (genitalism) ambao humfanya mtu kuitazama duni kwa kutumia miwani ya jenitalia.

Baadhiwanafikiri kimkunndu mkunndu.

Wengine wanafikiri kikumma kumma.

Na baadhi wanafikiri kimbolo mbolo.


Ni ugonjwa hatari sana kwa afya yako ya akili.
 
Back
Top Bottom