Nauliza: Kusafirisha mizigo from Dar to Nairobi Kenya

Nauliza: Kusafirisha mizigo from Dar to Nairobi Kenya

kayanda01

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,216
Reaction score
1,062
Habari wapendwa.

Kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu hili,

Nina vimizigo (parcels/boxes) ambavyo nataka kuvituma from DAR to Nairobi Kenya. Njia ipi ya utumaji ni cheaper? na gharama zao zikoje? Ahsanteni ndugu

-Kayanda-
 
Nenda ofisi ya DAR EXPRESS wanasafirisha kulingana na thamani & uzito ya mzigo. Mpokeaji Nairobi atapokelea ofis zao za Nairobi, River Road. Alternatively, mimi naenda huko mwisho wa mwez, japo itabid niukague mzigo usije ukanibebesha sembe bila kujua
.
 
Nenda ofisi ya DAR EXPRESS wanasafirisha kulingana na thamani & uzito ya mzigo. Mpokeaji Nairobi atapokelea ofis zao za Nairobi, River Road. Alternatively, mimi naenda huko mwisho wa mwez, japo itabid niukague mzigo usije ukanibebesha sembe bila kujua
.

Ahsante sana mkuu, you are very helpful. Ni viparcel ambavyo nitakuwa navituma from time to time. So nitaenda kwa hao DAR EXPRESS. Ubarikiwe Muelimishaji2025
 
Back
Top Bottom