Nauliza mwongozo mzuri wa biashara ya wakala

acleyfrancis

Member
Joined
Jan 31, 2017
Posts
33
Reaction score
44
Wakuu tushirikishane experience ya biashara ya wakala wa Banks na Mitandao ya simu. rewards yake, net Capital, Changamoto zake.

Mzoefu tafadhari
 
Wakuu tushirikishane experience ya biashara ya wakala wa Banks na Mitandao ya simu. rewards yake, net Capital, Changamoto zake.

Mzoefu tafadhari
Uwe na capital ya kutosha sio kuunga unga, na uangalie eneo ulilopo mzunguko wa biashara upo.

Hata kama kutakuwa na waliokutangulia, ukiwa na mtaji mkubwa utaona faida. Usiuze hakuna.
 
Uwe na capital ya kutosha sio kuunga unga, na uangalie eneo ulilopo mzunguko wa biashara upo.

Hata kama kutakuwa na waliokutangulia, ukiwa na mtaji mkubwa utaona faida. Usiuze hakuna.
Na reward yake ikoje kaka ... huwa ni ya kutosha? ..
 
nimefungua mpesa mwananyamala mwezi huu kiukweli hali ya biashara inanikatisha tamaa
Sasa Boss umefungua mwezi huu tu Kisha unalaumu hapo vumilia miezi 6 ndio unaanza kumudu gharama za uendeshaji
 
ni kwamba miamala michache kaka .. au changamoto ni nini tushirikishane
Kama ni m.pesa pekee usemacho kinachangiwa na kampuni kupunguza kamisheni. Unakuta muamala wa 20,000 unapewa 230 nayo itakutana na makato ya kodi hadi mwisho wa mwezi inauma!

Jaribu kupunguza makali kwa kufanya hivi:
- ongeza mitandao baki; airtel, halopesa, ttcl, tigo
-weka vocha za kukwangua na kujaza ziongeze mzunguko wa salio/float
-uza bidhaa nyingine hata juice, bites, soda nk
-usiitegemee hiyo biashara kwa mahitaji yako kwa asilimia kubwa. ITAKUFA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…