Habari za muda huu wana JF
nauliza sheria imekaaje kwamba unaweza kugombea mwenyekiti wa kijiji ukashinda then mwaka kesho kwenye uchaguzi wa madiwan ukagombea tena udiwani. Sijui hii inaruhusiwa kisheria.
ASANTENI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.