K Kilaza JF-Expert Member Joined Feb 28, 2013 Posts 3,324 Reaction score 1,377 Dec 15, 2014 #1 Habari za muda huu wana JF nauliza sheria imekaaje kwamba unaweza kugombea mwenyekiti wa kijiji ukashinda then mwaka kesho kwenye uchaguzi wa madiwan ukagombea tena udiwani. Sijui hii inaruhusiwa kisheria. ASANTENI.
Habari za muda huu wana JF nauliza sheria imekaaje kwamba unaweza kugombea mwenyekiti wa kijiji ukashinda then mwaka kesho kwenye uchaguzi wa madiwan ukagombea tena udiwani. Sijui hii inaruhusiwa kisheria. ASANTENI.