Nauliza ninahitaji ufafanuzi wenu wadau

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,377
Habari za muda huu wana JF
nauliza sheria imekaaje kwamba unaweza kugombea mwenyekiti wa kijiji ukashinda then mwaka kesho kwenye uchaguzi wa madiwan ukagombea tena udiwani. Sijui hii inaruhusiwa kisheria.
ASANTENI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…