Nauliza tiba ya ugonjwa huu, mwanaume anakuwa na ukoko sehemu za siri na utando mdomoni

KijanaHuru

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,822
Reaction score
2,320
Nimejaribu kucheki sana internet, nimegundua kitu inaitwa candida ni aina ya fungus fulani hivi. Nimepaa ni kwanini ugonjwa uo unawapata watu.

Japo mara nyingi unakuta mtu anautando mweupe mdomoni ila pia kuna uvumi kuwa wale wanaofanya mapenzi ya kunyonyana sehemu za siri hupatwa sana na risk hii(sina uhakika maana hata sijajuaga hilo penzi lina ladha gani)πŸ™‚

Wakati mwingine unakauka nakuwa kma kidonda kilichokaukia, ila wengine pia huwa wanakuwa na ukoko mpaka sehemu za siri(kwenye ngozi ya pumbu"Scrotum")

Sasa naombeni kuuliza wapendwa tiba yake kubwa hasa ni ni nini?

Angalizo wale ambao wanajiona wanautani sana hata hawajui kipi kipo serious siwataki hapa na wale wa madongo madongo siwataki kabisa hapa.
 
Hyo fungus mkuu ishanitokea mimi nikiwa tanga kati ya 2007 hadi 2009 , unaishi mkoa wa joto? .unapona kuna cream ya kupaka mwone dokta unapaka kwenye korodani asubui na jioni ila sikumbuki jina la hiyo cream, mwone dokta

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hakika Naishi dar Si Unajua Menyewe hali ya Hapa Yaani
 
Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu sehemu za siri: Dalili na Matibabu yake

Hili liliwahi kujadiliwa humu, ebu pitia hiyo link mkuu...
 
kuna jamaa yangu kipindi yuko chuo aliuguaga huo ugonjwa tukampeleka general Dodoma walimpa dawa za minyoo na fangasi
 
unaweza kucheck hospital, kuna sehemu hazitaki mchezo mchezo ni pamoja na hizo....hizo hata uwe bilionea kama hapafanyi kazi ni hamna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…