Nauliza tu... Hivi UPUMBAVU ni tusi?

Nauliza tu... Hivi UPUMBAVU ni tusi?

Chris Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
4,583
Reaction score
2,944
Ndugu zanguni,

Najua hapa kuna wataalam wa kiswahili hivyo nataka nijue tu kabla sijamkosea mtu kama nikimuita mtu -------- nakuwa nimemtukana au nimetaja upeo wake?

Hili neno halipo kwenye kamusi yetu ya kihehe hivyo nimeshindwa kupata tafsiri kamili

JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Najua hapa kuna wataalam wa kiswahili hivyo nataka nijue tu kabla sijamkosea mtu kama nikimuita mtu -------- nakuwa nimemtukana au nimetaja upeo wake?

Hili neno halipo kwenye kamusi yetu ya kihehe hivyo nimeshindwa kupata tafsiri kamili

JITAMBUE!

Muulize Pinda na Sugu
 
Back
Top Bottom