Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,944
Ndugu zanguni,
Najua hapa kuna wataalam wa kiswahili hivyo nataka nijue tu kabla sijamkosea mtu kama nikimuita mtu -------- nakuwa nimemtukana au nimetaja upeo wake?
Hili neno halipo kwenye kamusi yetu ya kihehe hivyo nimeshindwa kupata tafsiri kamili
JITAMBUE!
Najua hapa kuna wataalam wa kiswahili hivyo nataka nijue tu kabla sijamkosea mtu kama nikimuita mtu -------- nakuwa nimemtukana au nimetaja upeo wake?
Hili neno halipo kwenye kamusi yetu ya kihehe hivyo nimeshindwa kupata tafsiri kamili
JITAMBUE!