Hivi pale G7 ni Tabata au malamba wakuu.
Nilipotea njia pale asee vijana wanatafuta hela Kwa shida alafu zinaenda kuisha kizembe.
Nimeagiza Redbull wanauza elfu 6. Mana Sasa hivi sio mnywaji wa pombe nimetokea kuiogopa pombe Sana Kwa Sasa.
Nauliza Tu Ile G7 ipo Tabata au Malamba?