Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Ni weekend tulivu ya last week nilikuwa napiga moja moto na moja baridi pembeni kulikuwa na bulaza mtanashati na mrembo pembeni yake.
Simu yake ikaita akawa kapokea ili amdhihirishie mrembo wake kuwa ni yeye wa pekee akaweka LOUD speaker coz aliyempigia ni mdada, then wakati maongezi yanaendelea akawa anasema "NIPO NA DEMU WANGU TUNAMALIZIA WEEKEND"!!!
Kilichotokea mimi sikutaka kuwa shahidi coz yule mrembo alimuwakia jamaa yake na kuzuka balaa.
Wadada wa JF ungekuwa wewe unge react vipi??!!!
Hii hadithi haijaisha!?...au ndo blue monday!Ni weekend tulivu ya last week nilikuwa napiga moja moto na moja baridi pembeni kulikuwa na bulaza mtanashati na mrembo pembeni yake.
Simu yake ikaita akawa kapokea ili amdhihirishie mrembo wake kuwa ni yeye wa pekee akaweka LOUD speaker coz aliyempigia ni mdada, then wakati maongezi yanaendelea akawa anasema "NIPO NA DEMU WANGU TUNAMALIZIA WEEKEND"!!!
Kilichotokea mimi sikutaka kuwa shahidi coz yule mrembo alimuwakia jamaa yake na kuzuka balaa.
Wadada wa JF ungekuwa wewe unge react vipi??!!!
Malizia hadithi basi, kwa tukio hilo Kuweka loud speaker ni ushamba
kamusi ya kiswahili kwanza inasema demu ni pira la kusambazia mafuta!!
hata ingekuwa mimi nisingefurahi!!! na ndio ingekuwa mwisho wangu na yy!!
Hiyo red ningekunyonya macho kabisa khhaa Demu wapi LD, Susy nk kuna Demu huku jamani
kamusi ya kiswahili kwanza inasema demu ni pira la kusambazia mafuta!!
hata ingekuwa mimi nisingefurahi!!! na ndio ingekuwa mwisho wangu na yy!!
kamusi ya kiswahili kwanza inasema demu ni pira la kusambazia mafuta!!
hata ingekuwa mimi nisingefurahi!!! na ndio ingekuwa mwisho wangu na yy!!
Ni weekend tulivu ya last week nilikuwa napiga moja moto na moja baridi pembeni kulikuwa na bulaza mtanashati na mrembo pembeni yake.
Simu yake ikaita akawa kapokea ili amdhihirishie mrembo wake kuwa ni yeye wa pekee akaweka LOUD speaker coz aliyempigia ni mdada, then wakati maongezi yanaendelea akawa anasema "NIPO NA DEMU WANGU TUNAMALIZIA WEEKEND"!!!
Kilichotokea mimi sikutaka kuwa shahidi coz yule mrembo alimuwakia jamaa yake na kuzuka balaa.
Wadada wa JF ungekuwa wewe unge react vipi??!!!
Ni weekend tulivu ya last week nilikuwa napiga moja moto na moja baridi pembeni kulikuwa na bulaza mtanashati na mrembo pembeni yake.
Simu yake ikaita akawa kapokea ili amdhihirishie mrembo wake kuwa ni yeye wa pekee akaweka LOUD speaker coz aliyempigia ni mdada, then wakati maongezi yanaendelea akawa anasema "NIPO NA DEMU WANGU TUNAMALIZIA WEEKEND"!!!
Kilichotokea mimi sikutaka kuwa shahidi coz yule mrembo alimuwakia jamaa yake na kuzuka balaa.
Wadada wa JF ungekuwa wewe unge react vipi??!!!
haa!!hamna rangi ungeacha kuona..demu yako nani...lugha zako hukohuko kijiweni eboo
mimi ukiniita demu nakupa kibuti ndani ya sekunde,hilo halina heshima jamani linatudhalilisha sana i real hate that word from ma heart