Will be right back with full packaging,Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??
Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???
Do i smell something here!!!
wewe ulikuwa hutwangi cm wala kutuma emails? yeye ndo alikuwa anatuma tuuuuuuu!!! sasa ni zamu yako
Babe come this way!~
Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??
Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???
mimi nilikuwa napiga sana lakini yeye kapunguza asilimia 90 yaani akipiga ujue anakuuliza swali au ana shida fulani vinginevyo siku inaisha hata simu hakuna
Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??
Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???
vidume ''WAKISHALOWEKA'' ndo wamemaliza kazi hao.......
labda ukutane na LOVER_BOY fulani hivi ambaye anazipenda hizo kitu.....!ukikutana na vijana ''fulani'' hivi wao ni SINGLE USE
Nimempa kila kitu jamani mwenzenu huyu
vidume ''WAKISHALOWEKA'' ndo wamemaliza kazi hao.......
labda ukutane na LOVER_BOY fulani hivi ambaye anazipenda hizo kitu.....!ukikutana na vijana ''fulani'' hivi wao ni SINGLE USE
Nimempa kila kitu jamani mwenzenu huyu
Yaani zawadi kwa sana tu hata ambazo nilikuwa sijawahi kupata ila shida yangu ni communication tu kila kitu kiko sawa