Nauliza tu jamani!!


Mmmmmhhhhhh I'm loveing this
Ngoja TF arudi. .
Hahaha lol nway nilimwona BE na mtu mwingine lol
Mmmmmhhhh
 
aaaah kumbe...wamsubir tf mi nilijua wataka kuondoka na jaluo....acha nishikwe na wasi wasi...lol. :love:
Mmmmmhhhhhh I'm loveing this
Ngoja TF arudi. .
Hahaha lol nway nilimwona BE na mtu mwingine lol
Mmmmmhhhh
 
Mmmmmhhhhhh I'm loveing this
Ngoja TF arudi. .
Hahaha lol nway nilimwona BE na mtu mwingine lol
Mmmmmhhhh

AD wewe mchonganishi sana unataka Dada yangu ajinyonge ufurahi???? USHINDWE KATIKA JINA LA YESU MWOKOZI NA ULEGEEEE
 
aaaah kumbe...wamsubir tf mi nilijua wataka kuondoka na jaluo....acha nishikwe na wasi wasi...lol. :love:
Hahahaha lol jaluo twa mtuliza moyo tu sababu hakuna ampendae kwa saaasa
TF wangu bado hajanipa divorse pepars so technicaly bado mie ni mke wake hahahahaha lol
 
hayo ndio mambo keep it up...:A S thumbs_up::hug:
Hahahaha lol jaluo twa mtuliza moyo tu sababu hakuna ampendae kwa saaasa
TF wangu bado hajanipa divorse pepars so technicaly bado mie ni mke wake hahahahaha lol
 
Hahahaha lol jaluo twa mtuliza moyo tu sababu hakuna ampendae kwa saaasa
TF wangu bado hajanipa divorse pepars so technicaly bado mie ni mke wake hahahahaha lol
0 kaam
Nilikuuliza juzi kuw kumbe wa home umeolewa na The Finest??? Hukunijibu!!! NAmbioe basi desi. Mwenzio nakula kwantee (iko kwenye chungu)kama kawa saa hizi na mnavu wa baridiiii fresh kishenzi ndo naenda kazini sasa
 
AD wewe mchonganishi sana unataka Dada yangu ajinyonge ufurahi???? USHINDWE KATIKA JINA LA YESU MWOKOZI NA ULEGEEEE

Hahahahqhq mkuki kwa ngurue ae
Hahahaha lol
We muulize alivyokuwa anatuchonganisha na tf wangu lol
 
Hahahahqhq mkuki kwa ngurue ae
Hahahaha lol
We muulize alivyokuwa anatuchonganisha na tf wangu lol

Dah si kwangu lakini alikuwa anawachonganisha ili muachane au ili mtulizane???
 
Thanx sweet
vipi weye na HashC???

Hashcool si ndi aliwagombanisha wewe na The Finest au????? Ukaomba msamaha ukasamehewa bure!! MDogo wangu unapotea kabisa mie napata kizunguzungu.
 
0 kaam
Nilikuuliza juzi kuw kumbe wa home umeolewa na The Finest??? Hukunijibu!!! NAmbioe basi desi. Mwenzio nakula kwantee (iko kwenye chungu)kama kawa saa hizi na mnavu wa baridiiii fresh kishenzi ndo naenda kazini sasa

Yeah mie niko na TF. .lol

Nway unavyo nitamanisha na huo ugali wa kwante hapo ukipatia dansai na ulwa berang. ..

Uuuuwwwwwiii kha desi khasit. ..lol
 
Yeah mie niko na TF. .lol

Nway unavyo nitamanisha na huo ugali wa kwante hapo ukipatia dansai na ulwa berang. ..

Uuuuwwwwwiii kha desi khasit. ..lol

Tena kwanteee ya kwenye chungu aakkkhhh poa ile mbaya uwiiiiiiiiiiii pole wewe uko Dar nini kwanteee uitoe wapi??? Yaani huku ni raha atupu kwasasa niko Haidomu ha ha ha unakujua huku??? Wewe???
 
kizungu zungu ni nini??? Halafu uache tabia mbaya na wewe huna hata imani kama ni dada ako kweli kweli usimfanyie hivyo waache wenyewe wapendana...
hashcool si ndi aliwagombanisha wewe na the finest au????? Ukaomba msamaha ukasamehewa bure!! Mdogo wangu unapotea kabisa mie napata kizunguzungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…