Nauliza tu jamani!!

Tena kwanteee ya kwenye chungu aakkkhhh poa ile mbaya uwiiiiiiiiiiii pole wewe uko Dar nini kwanteee uitoe wapi??? Yaani huku ni raha atupu kwasasa niko Haidomu ha ha ha unakujua huku??? Wewe???

We acha utani haidom uko kwa nani. ..???mimi nimezaliwa haidom
 
ndo hivyo tena mpenzi sina jipya.... But its gona okay... We ngoja nikwambie kitu ucje kumsikiliza huyu desidii sana sana atakugombanisha tuu atamkii... Be carefully ok???
ati nini niambie unanitania dear lol mmmmhhhhhh
 
ndo hivyo tena mpenzi sina jipya.... But its gona okay... We ngoja nikwambie kitu ucje kumsikiliza huyu desidii sana sana atakugombanisha tuu atamkii... Be carefully ok???

NILHAM n kusheshimu sana tafafdhali sana usiniharibie!!!!!
 
we hutaki maendeleo hata huoni ni 2011 mwenzangu... Na umefurh mpaka rohoni ulivyoskia habar za hashc.... Ukaona ata nachelewa kujibu ukanijibia wewe lol...
nilham n kusheshimu sana tafafdhali sana usiniharibie!!!!!
 
we hutaki maendeleo hata huoni ni 2011 mwenzangu... Na umefurh mpaka rohoni ulivyoskia habar za hashc.... Ukaona ata nachelewa kujibu ukanijibia wewe lol...

Haaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!! NIMECHHOKA KWA HILI MMMHHHH???
 
Orio laway hung thlemero hiyo ulwa berang afrodenz unanikumbusha mbali sana ha kumbe hata we wa hm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…