:msela😀emu wangu kaniuliza leo hii, eti nimewahi kufanya malavidavi kwa kutumia asali? Nimemjibu sijawahi! Kasema basi yeye atanionjesha na nitapata utamu ambao sitakaa nisahau katika maisha yangu yote!! Sasa wazoefu hebu nisaidie, huyu demu anamaanisha nini anaposema mapenzi kwa kutumia asali? Nipo njia panda kwa kweli!:msela:
ukiona kuna chumvi ujue ameenda kukojoa halafu either kasahau kunawa, au hakunawa vizuri......ila kitu ikiwa fresh ukaweka asali, hakuna chumvi kabisa.
Haya sina lakusema hapa,
Nawapisha wengine.
Kwa kweli, asali inaweza kutumika kwa njia nyingi sana kwenye malavidavi.
1. Mnapakana kwenye mwili halafu mnalambana
2. unampaka kwenye mabreast na kwenye kitovu halafu unailamba
3. mnamwagiana kwenye nanihii halafu unainyonya.
4. Pia mmoja wenu anaweka kwenye ulimi wake au lips zake halafu wewe unainyonya
DISCLAIMER: msipofanya vizuri itasababisha muichukie asali kuanzia siku hiyo....na hata inaweza kukufanya kuanzia siku hiyo ukisikia harufu ya asali unahisi kichefuchefu....so be gentle.