Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo dola 798.99 ukichenji kuwa Tsh utapata mabao mangapi pale Sewa au Kimboka Bar kwa bei elekezi ya Tsh 3,000/=?
Hio 3,000 Pale kinondoni unapata Malay…a 2 kwa 1,500 tu 😋Hiyo dola 798.99 ukichenji kuwa Tsh utapata mabao mangapi pale Sewa au Kimboka Bar kwa bei elekezi ya Tsh 3,000/=?
Niliwahi kuwa nayo hii kabla sijanunua gt2 pro. Iko poa piaHuawei GT2, ninaitumia inakaa na chaji wiki mbili.
Inamuonekano mzuri
Unaweza kubadilisha mikanda
Haiingizi maji
Haichakai haraka
Unaweza ku google kuifahamu zaidi ila ni saa moja nzuri sana
View attachment 2666844
🤣 🤣 🤣 🤣 uzi ushabadilikaHiyo dola 798.99 ukichenji kuwa Tsh utapata mabao mangapi pale Sewa au Kimboka Bar kwa bei elekezi ya Tsh 3,000/=?
Wekeni beiNjoo nikuuzie huawei GT2 PRO Ni nzuri sana utaipenda.View attachment 2666887
Gharama yake sh ngpHuawei GT2, ninaitumia inakaa na chaji wiki mbili.
Inamuonekano mzuri
Unaweza kubadilisha mikanda
Haiingizi maji
Haichakai haraka
Unaweza ku google kuifahamu zaidi ila ni saa moja nzuri sana
View attachment 2666844
Nilipenda sana kuvaa saa za vimulimuli mwaka 1987.Habari wakuu?
Niende moja kwa moja kwenye mada, nilikua nahitaji smart watch halisi, isiwe fake, lakini pia iwe na mwonekano mzuri, namaanisha isiwe ndogo sana. Mkinisaidia Aina ikiambana na picha itakua mzuka Sana.
Karibuni
View attachment 2666830
Ahsante Sana mkuu, naweza kuipata wapi na Bei yake tafadhaliHuawei GT2, ninaitumia inakaa na chaji wiki mbili.
Inamuonekano mzuri
Unaweza kubadilisha mikanda
Haiingizi maji
Haichakai haraka
Unaweza ku google kuifahamu zaidi ila ni saa moja nzuri sana
View attachment 2666844
Nakuja pm mkuuNjoo nikuuzie huawei GT2 PRO Ni nzuri sana utaipenda.View attachment 2666887
Nilinunua USD 136 December 2021 Naimani itakuwa imeshuka beiGharama yake sh ngp
Kuna duka lipo dar Instagram wanajiita phonepointdar niliona wamepost wanayo.Ahsante Sana mkuu, naweza kuipata wapi na Bei yake tafadhali