Hizo gharama ndio halisi ila nenda Tanesco uone kazi.....Ukitaka kutoa hizo pesa na si zaidi utaambiwa uje mwakani mwezi wa 2 kisa na sababu ndio kwanza wamepanda miti ya nguzo iringa subiri ikue na ivunwe ndio ije kuwekwa eneo unalotaka.....
Yericko umekosea kidogo, Minimum ie withn 30m ni 455,105/, application card ni 5,900. Kama ni 50m lazma one pole, gharama ni 1,352,000/, kama ni 120m bas ni 2poles gharama ni 2,002,000 bei zote hz Vat iclusive. Siku hz pia kuna Akiba bank wanatoa mkopo wa kuunganisha umeme kwa watu wasio vizur kimfuko.
Hiyo nguzo kwa bei ya 1,352,000/= ni wizi mtupu. Bora tuagize nguzo za chuma toka China haitazidi 300,000/=.
Ukitaka kujua kama tunaibiwa ni kwamba nguzo hiyo ukilipia kwa kiasi hicho bado inakuwa mali ya Ta4sco![/QUOTE]
Kudadadeki,
Halafu jirani yako anakuja kuunganisha umeme ktk nguzo hiyo kiulaini kabisa, tena majirani wengine wajuvi, ile siku unamalizia kusimika nguzo,yy ndo anaenda Tanesco kuomba umeme. Umesota miezi kadhaa kufuatilia nguzo,yy ni siku moja kaunga umeme.
Hiyo nguzo kwa bei ya 1,352,000/= ni wizi mtupu. Bora tuagize nguzo za chuma toka China haitazidi 300,000/=.
Ukitaka kujua kama tunaibiwa ni kwamba nguzo hiyo ukilipia kwa kiasi hicho bado inakuwa mali ya Ta4sco![/QUOTE]
Kudadadeki,
Halafu jirani yako anakuja kuunganisha umeme ktk nguzo hiyo kiulaini kabisa, tena majirani wengine wajuvi, ile siku unamalizia kusimika nguzo,yy ndo anaenda Tanesco kuomba umeme. Umesota miezi kadhaa kufuatilia nguzo,yy ni siku moja kaunga umeme.
yap! Nguzo na service line mpaka kwenye mita vinabakia assets za tanesco.Kuna mita za luku kutoka china zina akili nzur sana. Harafu nzur sana, nimemwambia mtu wa tanesco anilitee zinashape nzur sana.
Hiyo nguzo kwa bei ya 1,352,000/= ni wizi mtupu. Bora tuagize nguzo za chuma toka China haitazidi 300,000/=.
Ukitaka kujua kama tunaibiwa ni kwamba nguzo hiyo ukilipia kwa kiasi hicho bado inakuwa mali ya Ta4sco!