habari wakuu, nauluza wallio apeal bodi ya mikopo 2014/15 majina yanatoka lini au yako wapi ili tujue tunawalipia ada vijana wetukwa ajili ya semester y pili au tuwasubiri wao, wengine walisema yapo vyuoni mbona vyuoni hakuna?kijana anasoma udom na udom walitoa taarifa juzi alhamis kua majina hawajapata.