Kwa mimi ninayesoma chuo kikuu cha Dar es salaam niliona tangazo linalohusu wale walio-appeal kwenye ofisi inayohusika na mambo ya mikopo walisema hivi kwa wale wote walio-appeal majina bado hajatoka kwahiyo wajilipie ada kwa gharama zao binafsi mpaka pale watakapopata majina kutoka bodi ya mikopo na watayatangaza.