Naulizia nauli ya kwenda Burkina Faso

Naulizia nauli ya kwenda Burkina Faso

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Wakuu naomba mwenyewe uzoefu wa masafa ya mataifa ya Afrikaa anipe Bei ya nauli ya Burkina Faso ni usafiri gani mzuri niutumie Kuna mzigo naenda kufuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mpaka uende, Fanya ebusiness benki ya bongo itawasiliana na benki ya kule jukufanyia guarantee ya malipo mzigo ukifika na ukajiridhisha kama ni mzigo halali ulioutaka.

Labda kama unaenda kutaka mzigo haramu
 
Back
Top Bottom