Naulizia nhif waliofanya written interview walishaitwa kwenye oral?

Naulizia nhif waliofanya written interview walishaitwa kwenye oral?

Godwin Mneng'ene

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
215
Reaction score
86
Naomba kujulishwa kuhusu usaili wa written nhif uliofanyka kule ukumbi wa baraza la maaskofu
kurasini walishaitwa kwenye oral? manake ni kamda kamepita tokea usaili huo ufanyike.
Mtu unaweza kuwa unasubiri kumbe watu wameshaajiriwa.
Naomba kujulishwa tafadhali kwani na mimi nilifanya hiyo written
kwa ajili ya nafasi ya senior admnistrative officer.
Nawasilisha kwa ufahamisho.
 
Back
Top Bottom