thengoshahimself
Member
- Feb 5, 2012
- 63
- 6
Laumu kwenda vyuo vya kata,
hata hivyo unasaidiwa tu usome ingekuwa zamani wewe ungetafta kwanza principle then ndio uaplay dip,
Wewe kaa ukijua ya kwamba Wanafunzi wa UD, Wanajua kupigania haki zao za msingi. Na vilevile UDSM wana utawala mzuri sana, kuanzia Serikali ya Wanafunzi hadi wamiliki wa chuo.