Naumia nikikojoa

Naumia nikikojoa

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Hivi tatizo la kukojoa na kuumia ni ugonjwa gani?
 
ni dalili za maambukizi kwenye njia ya mkojo na je kwenye kinena kuna maumivu?unakojoa mara nyingi na kama wewe mwanamke una mimba?nakushauri nenda hospitali ya karibu kupima mkojo na ushauri zaidi wa daktari
pole sana
 
Back
Top Bottom