Naumia sana na wachezaji wetu wa SIMBA

karue

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
203
Reaction score
435
Heshima kwenu,
Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke?
1: saidoo
2😱nana
3: jobe
4: fredy
5:mikson
6: taja mwingine
 
Msimu ujao MO anasajili timu nzima usijali...anabaki Ngoma tu
 
Heshima kwenu,
Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke?
1: saidoo
2😱nana
3: jobe
4: fredy
5:mikson
6: taja mwingine
Msimu ujao MO anasajili timu nzima usijali...anabaki Ngoma tu
Na uwe ivyo
 
Heshima kwenu,
Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke?
1: saidoo
2😱nana
3: jobe
4: fredy
5:mikson
6: taja mwingine
Saidoo mnamuonea sana. Alisajiliwa Simba ili akawe back up na kuongeza nguvu kwenye timu. Ila kutokana na ubovu wa kikosi chenu, amejikuta ni tegemeo. Ila kwa umri wake na energy anayotoa, anajitahidi sana. Mkiwa na kikosi kizuri, Saidoo ni back up nzuri.

Jobe na Fredy siwezi kuwazungumzia, ila huyo konde boy mlimsajili kwa kuhofia ataenda Jangwani, ila hakuwa hitaji la timu.
 
Heshima kwenu,
Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke?
1: saidoo
2😱nana
3: jobe
4: fredy
5:mikson
6: taja mwingine
Waondoke tu.
 
Kibu asiwe mchezaji tegemezi na chama mbadala game za maamuzi haziwezi
 
wengi Kapombe,Tsabalala,Chama,Kanoute,Onana,Muzamiru,kwa kifupi ni timu nzima.wakubaki ni Babacar,Malone,Inonga na Ngoma.
 
Ayoub aondoke??
Manula asepe,Ally Salim apewe mechi nyingi za ndani,Ayoub ni kipa hasa yule kiumbe.
Namba tisa na namba 6 wa ziada wanatakiwa wa maana sio wakuokoteza.
Shida Simba aina mwenyewe kila kiongozi anatia mkono kwenye sajili,tofauti na hawa Jangwani bichwa komwe ni Hersi tu anamaliza show ya sajili.
 
Tatizo mliwekeza kwenye kulilia mpewe ndege badala ya kupanga kikosi 🤣🤣🤣🤣
 
Shida ya Simba sio wachezaji shida ni viongozi wanao waleta hao wachezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…