Nisaidie ndugu yangu KY ni nini?
Karibu sana mkuu...........Nilikumiss sana ulikuwa wap?????????Pole sana dadaangu...Wakati mwingine tatizo lako linaweza kuwa la kisaikolojia zaidi...Kuna dada mmoja aliwahi kufanyiwa mambo mabaya wakati anaanza kufanya matendo haya, basi akawa hata baada ya kuolewa anaogopa sana tendo hili!...Hata akiandaliwa namna gani anahisi huenda mumewe ataishia kumfanya vile alivyotendwa zamani, matokeo yake amekuwa haoni raha yoyote, bali maumivu na mateso!...Yakishindikana yote pata ushauri nasaha!
aaahhh kapwaniiii!!!Nisaidie ndugu yangu KY ni nini?