Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Nielekeze mtaa nije nikuchukue tuende ukapate tibaasante sana
Sipo Huko Dar miminaomba unipeleke
Pole sana ila nadhan kwa kanuni za afya ni kheri ukawaone wataalamu wa afya,naamini watakuwa na msaada zaidi.nina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi.panauma sana kwa ndani.ni ugonjwa gani wakuu.
kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
nina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi.panauma sana kwa ndani.ni ugonjwa gani wakuu.
kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
nina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi.panauma sana kwa ndani.ni ugonjwa gani wakuu.
kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
ahahaaaUnasumbuliwa na Ugonjwa mbaya sana uitwao ' Nyegeling ' na dawa yake ya haraka inaitwa ' Mkuyengeling ' Mkuu. Itafute haraka ili uweze kupata nafuu kama siyo kupona kabisa.
ngoja nikapige ultrasoundNgoja kwanza ni reserve pole yangu nitakupa baadae, hahahahahahahahahahahhaa😛😛😛
Pole sana,,,nina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi.panauma sana kwa ndani.ni ugonjwa gani wakuu.
kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
Eti anaogopa hospitali kwahio anatafuta mpenzi wa kumpelekaMmh pole sana, jaribu kwenda hospitali
natafuta mpenzi
Mmh hatari sana, watakaoweza waende naeEti anaogopa hospitali kwahio anatafuta mpenzi wa kumpeleka
Hongera mkuu! Wewe ndio umeelewa ugonjwa wake? Wengine wanamshauri anywe dawa sijui aende hospitali; kumbe mwali issue ni wa kumpeleka😛Unapatikana mtaa gani nikupeleke hospital
nina week sasa Napata maumivu makali upande wa kushoto katikati ya kiuno na kifua kama unaenda mgongoni hivi.panauma sana kwa ndani.ni ugonjwa gani wakuu.
kuhusu kwenda hosptali naogopa sana hospital natafuta mpenzi wa kunipeleka
Umesoma alivyo andika mhusika?Hongera mkuu! Wewe ndio umeelewa ugonjwa wake? Wengine wanamshauri anywe dawa sijui aende hospitali; kumbe mwali issue ni wa kumpeleka😛