Maria Nyamhanga
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 130
- 25
Asante nilidhani ni kawaida maana ni mtoto wa kwanza kwangu.Mkuu, Nenda hospitali mapema
Asante nilidhani ni kawaida maana ni mtoto wa kwanza kwangu.
Mtoto ananyonya sana lakini bado magumu na yanauma..inawezekana yanajaa sana au mtoto hanyonyi sana
Mtoto ananyonya sana lakini bado magumu na yanauma..
Mtoto ananyonya sana lakini bado magumu na yanauma..
Naona unautani na wazaramo wewe ngoja watoke huko waliko utapata mvua ya matusi wewe!Kamuone Daktari na wala usichelewe maana nyinyi wazaramu kwa ngoja ngoja hamjambo