Mi siogopi kufa najua ni
wajibu,ila naomba mungu aniongezee uhai ili wanaonitegemea nao wasogee
mbali,afterall, nilisema wanaonipenda,sasa kama hunipendi nini
kimekuwasha! Achana na mimi!
Sasa si ungejibu hivyo bana! Mpaka dripu imechomoka kwa hasira bana! Haya asante,mara nyingine usimwambie mtu mwenye malaria na presha hivyo!teh teh teh teh teh,mkono mmoja huo ndo unaojibu mineno yote hyo,pole lakini kiongozi,najua nakutonesha ila utapona tu,nickutie presha bure,lala kaka,c unaumwa wewe
Pole sana mzee,Mungu akusaidie ili upone haraka!Nasumbuliwa na malaria kali wana jf, napata drip ya quinin,dua zenu muhimu jamani,tuweke tofauti zetu za kimtazamo pembeni!
Mie nakupenda ila mungu anakupenda zaidi!Nasumbuliwa na malaria kali wana jf, napata drip ya quinin,dua zenu muhimu jamani,tuweke tofauti zetu za kimtazamo pembeni!
Ha! Una maana gani?Mie nakupenda ila mungu anakupenda zaidi!
Nakushkuru mkuu! Leo naendelea vizuri kiasi,wake wabaya wangu waanze kuomba poo!Pole sana mzee,Mungu akusaidie ili upone haraka!
mkuu hiyo avatar yako inaonyesha nini vile,siioni vizuri si unajua natumia mchina!!
du!!!huyu mgonjwa wetu naye kaiona hiyo avatar!!wanapo zikia wafu, yaani miili ya marehemu!