rasta got soul
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 234
- 114
Nenda kapime hospitali huenda unayo Maradhi ya Presha ya Macho kunywa maji ya Uvuguvgu kwa wingi , kula kipande 1 cha Tangawizi mbichi au kula punje 12 za Lozi aka (Amond) utaweza kupona Lala usingizi wa kutosha Maumivu yakizidi muone Daktari.Habari wadau Naomba msaada wa ushauri kwa tatizo hili. Naumwa sana kichwa upande mmoja na huwa hata ninywe dawa gani ya pain killer hakiachi mpaka nilale kwa muda mrefu. Pia jicho la upande huo huwa linatoa machozi. Naweza Kuwa na tatizo gani?
Habari wadau Naomba msaada wa ushauri kwa tatizo hili. Naumwa sana kichwa upande mmoja na huwa hata ninywe dawa gani ya pain killer hakiachi mpaka nilale kwa muda mrefu. Pia jicho la upande huo huwa linatoa machozi. Naweza Kuwa na tatizo gani?
Nenda kapime hospitali huenda unayo Maradhi ya Presha ya Macho kunywa maji ya Uvuguvgu kwa wingi , kula kipande 1 cha Tangawizi mbichi au kula punje 12 za Lozi aka (Amond) utaweza kupona Lala usingizi wa kutosha Maumivu yakizidi muone Daktari.
Nenda katafute kwenye maduka ya Super Market makubwa utapata hiyo Lozi (Almond)Mzizimkavu. Asante kwa ushauri hizo amond naweA kuzipata wap dar es salaam hii??