Naumwa tonsils nimepewa Azuma

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Oi wataalam wa mambo. Nimeenda famasi kununua dawa ya tonsezi cha ajabu nimepewa AZUMA - 250

Kinacho nipa hofu ni kwamba kupitia uzi wa kula kimasihala niliona hizi wadau walitumia kujitibu kisonono na kaswande vipi wakuu huyu dada alie nipa hizi yupo sawa?
 
Mkuu pangusa inakata kichwa cha chini soon

Tumia hiyo dozi hadi iishe
 
tonsillitis sio ugonjwa mzuri hakikisha unakunywa dawa na unapona, hao vimelea wanaosababisha huo ugonjwa wanaweza kufika kwenye moyo na kuathiri zile valvu za moyo hapo ni issue nyingine tena
 
Azuma ni dawa ya kuua wadudu yenye uwanda mpana sana;
Wa njia ya mkojo
Wa njia ya hewa
Si unakumbuka kwenye corona ilitumika kwa ajili ya mapafu
Inatibu vizuri tu
 
that is a gun to kill a mosquito. Sio sahihi, mnasababisha microbial resistance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…