Pharmacy zetu hiziAzuma ni azithromycin yupo sahihi ila Ameua mbu kwa Rungu
Kauza azuma ili apate hela
😂😂😂😂😂Itakuwa anakufahamu unazama na chumvini [emoji12]
Mkuu pangusa inakata kichwa cha chini soonOi wataalam wa mambo. Nimeenda famasi kununua dawa ya tonsezi cha ajabu nimepewa AZUMA - 250 .
Kinacho nipa hofu ni kwamba kupitia uzi wa kula kimasihala niliona hizi wadau walitumia kujitibu kisonono na kaswande vipi wakuu huyu dada alie nipa hizi yupo sawa.....?
Au ananitega nikamle kimasiaha.....?
Hii hapana mimi sio manunu
Mkuu kwani kama angemuuzia PEN V asingemuuzia ili apate hela?Azuma ni azithromycin yupo sahihi ila Ameua mbu kwa Rungu
Kauza azuma ili apate hela
Pen V inauzwa shi ngapi?Mkuu kwani kama angemuuzia PEN V asingemuuzia ili apate hela?
Sijui wanaouzaPen V inauzwa shi ngapi?