Dawa ni nyingi kwa kweli lakini Inshallah nitaziandika hizi 4 ambazo ni common tu:
(1) Pika kuzu-bara kwa lugha ya kiingereza inaitwa (coriander) pamoja na hinna na sikikwa kiingereza inaitwa (Vinegar)pamoja na unga wa shairi ni (unga wa ngano)kisha uweke au upake pale penye maumivu.
(2) Ukipika sarjal kwa lugha ya kiingereza inaitwa (quince) pamoja na maji ya shairi (ngano) ikisha upake panopo uma hupoza maumivu.
(3) Asali safi ya nyuki ukinywa pamoja na mafuta ya habbati Sauda kwa kiingereza inaitwa (Nigella Sativa oil) huondosha maumivu ya viungo.
(4) Ukisaga kuzu-bara Kwa kiingereza inaitwa (Coariander) au maji yake pamoja na maji ya busanji kwa kiingereza inaitwa (violet) na lozi kwa kiingereza inaitwa (Almond ) kisha paka katika viungo vinavyouma. Inshallah maumivu yataondoka.