Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ndio maana nasema kila siku wewe hufai kuwa jukwaa hili mapishi linakufaaAzam walijengaje wao ,mbona unawaza kwa makalio
Azam unawafananisha na nyie wajinga?
Juzi tu hapa wamenunua basi lao la kisasa, nyie mmenunua ma coastal yaliyochoka kwa muhindi mzee nani yule, tena hapo baada ya kuuza kina luis..
Azam hawajajenga kwa michango hilo buku lako la mchango kaweke bando tu uruke ruke hapa.