Naunga mkono hoja ya Nehemiah Mchechu. Annual Performance Reports za Mashirika ya Umma ziwe Public

Naunga mkono hoja ya Nehemiah Mchechu. Annual Performance Reports za Mashirika ya Umma ziwe Public

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Namfuatilia hapa mubashara kwenye mtandao. Msajili wa Hazina Bw. Mchechu anasema ni wakati muafaka sasa Mashirika ya Umma kuanza kuchapisha taarifa zao za Utendaji za Mwaka. Hii ni nzuri. Ila ziwe genuine tu. Tusisubiri Ripoti ya CAG. Ukitazama Private commercial institutions kama Banks wanachapisha, why not Public Institutions.
 
Ok
JPEG_20230420_121107_107497427891353699.jpg
 
Yeye alichapisha ripoti yake akiwa NHC ?

Unafiki mtupu.
Hakuwa kwenye nafasi hiyo ya TR. Nadhani kama angekuwa TR back then angetoa maelekezo kama haya. Hii ya kuchapisha Taarifa itasaidia kujua Mashirika mabovu yanayotesa uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom