Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Naunga mkono Katibu Mkuu wa CCM kutokushiriki mdahalo huru, huu huenda ukawa mtazamo Wangu binafsi tu.
1. Nchimbi aliona sio vyema kubeba Aibu kama yeye binafsi
2. Huenda haamini Sana kwenye uongo (msisitize "huenda")
3. DHAMBI ya Uongo ni Mbaya na karma yake haiwezi kukuacha huru KAMWE
4. Utekaji "huenda" unamtesa nafsi yake pia
5. Miradi ya Ujenzi WA barabara kusimama kwa mkandarasi kutokulipwa (so far ni zaidi ya miradi SITA ninayoifahamu)
6. Suala kongwe la kikokotoo
7. Kuzidi kupaa kwa bei ya dollar
8. Kufeli kutengeneza Katiba Mpya
9. Wakurugenzi kuendelea kusimamia chaguzi (hawa ni makada WA CCM)
10. Polisi kugeuka kuwa Wana SIASA na kuacha taaluma zao
Kwa uchache haya yote asingeweza kuyajua, suluhisho ni kukimbia. Naungana nae.
PIA SOMA
- News Alert: - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
1. Nchimbi aliona sio vyema kubeba Aibu kama yeye binafsi
2. Huenda haamini Sana kwenye uongo (msisitize "huenda")
3. DHAMBI ya Uongo ni Mbaya na karma yake haiwezi kukuacha huru KAMWE
4. Utekaji "huenda" unamtesa nafsi yake pia
5. Miradi ya Ujenzi WA barabara kusimama kwa mkandarasi kutokulipwa (so far ni zaidi ya miradi SITA ninayoifahamu)
6. Suala kongwe la kikokotoo
7. Kuzidi kupaa kwa bei ya dollar
8. Kufeli kutengeneza Katiba Mpya
9. Wakurugenzi kuendelea kusimamia chaguzi (hawa ni makada WA CCM)
10. Polisi kugeuka kuwa Wana SIASA na kuacha taaluma zao
Kwa uchache haya yote asingeweza kuyajua, suluhisho ni kukimbia. Naungana nae.
PIA SOMA
- News Alert: - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!