Verily Verily
Senior Member
- Jan 4, 2007
- 192
- 148
Naiunga Mkono Serikali kwa ASILIMIA MIA isiruhusu wala kuagiza CHANJO ya Corona. Hii ni kutokana na taarifa zinazozunguka kuhusu uwezekano wa chanjo kutokuagizwa kuleta hapa nchini.
Hii ni kutokana na mwenendo mzima wa hali ya Ugonjwa Duniani ambayo inaweza kutuoatia taswira ya chanjo yake. Mataifa yaliyoingia mkenge wa kufuata miongozo toka huko yamepata madhara makubwa sana ya Ugonjwa huo.
Itakuwa ni Lisa kubwa sisi kama Taifa kuepuka madhara kwa kukataa vipimo na miongozo yao halafu tukapokea hizo chanjo. Nachelea kuweka tunaweza kulipa gharama kubwa sana!
Kuna taarifa za kutosha kuonesha kuwa ugonjwa wenyewe ulitengenezwa katika maaabara hizohizo ambayo chanjo nazo zinatengenezwa.
Ugonjwa wa Corona pamoja na mambo mengine unalenga kwenye global dominance, imperialism, guess za kibiashara na kuweza kufikia maliasili za mataifa yote. Yapo malengo mengine pia. Ni guess muhimu kujiepusha kuingizwa katika mipango hio hatari.
Ikumbukwe pia kuwa sio Corona tu Bali chanjo nyingi (sio zote) zinaletwa kwa malengo maovu dhidi ya afya zetu.
Mwisho watu binafsi watakaoitaji kuvanjwa iwapo tu ni lazima katika kusafiri basi wazipate kwenye vituo maalumu na wawekwe karantini warejeapo nchini mpaka hapo wataalumu watakaporidhika kama hawezi na kuwaambukiza wengine.
Hii ni kutokana na mwenendo mzima wa hali ya Ugonjwa Duniani ambayo inaweza kutuoatia taswira ya chanjo yake. Mataifa yaliyoingia mkenge wa kufuata miongozo toka huko yamepata madhara makubwa sana ya Ugonjwa huo.
Itakuwa ni Lisa kubwa sisi kama Taifa kuepuka madhara kwa kukataa vipimo na miongozo yao halafu tukapokea hizo chanjo. Nachelea kuweka tunaweza kulipa gharama kubwa sana!
Kuna taarifa za kutosha kuonesha kuwa ugonjwa wenyewe ulitengenezwa katika maaabara hizohizo ambayo chanjo nazo zinatengenezwa.
Ugonjwa wa Corona pamoja na mambo mengine unalenga kwenye global dominance, imperialism, guess za kibiashara na kuweza kufikia maliasili za mataifa yote. Yapo malengo mengine pia. Ni guess muhimu kujiepusha kuingizwa katika mipango hio hatari.
Ikumbukwe pia kuwa sio Corona tu Bali chanjo nyingi (sio zote) zinaletwa kwa malengo maovu dhidi ya afya zetu.
Mwisho watu binafsi watakaoitaji kuvanjwa iwapo tu ni lazima katika kusafiri basi wazipate kwenye vituo maalumu na wawekwe karantini warejeapo nchini mpaka hapo wataalumu watakaporidhika kama hawezi na kuwaambukiza wengine.