Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Hahahahaha! Sikulijua hilo mkuu; ila hilo la uoga kama ni kweli kuna kitu nime-note.
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?

haujamwelewa huyo, kaponda hapo!!

acheni ku crame
 
Ukisoma kwa makini ndo utajua kuwa hii thread ni IRONY
hongera Mkuu.Pascal
 
Why Chato and not Dodoma? baada ya kupeleka rasmi makao makuu Dodoma uwanja wa ndege uliopo sasa katikati ya mji ulitakiwa uondolewe na eneo lilipatikana, lakini katika hali isiyotarajiwa mpango uliterekezwa na kujenga vingine kulingana na kiongozi yuko jikoni na kupeleka mezani (mkoani) kwake! Kwa wale wanaosifu kwenda Chato na si Dodoma ninawapongeza kwa kuwa vibaraka wazuri, Dodoma inabaki kuwa na uwamja wa ndege katikati ya mji wakati kituo cha mabasi ya mikoani kikiondolewa katikati ya mji!
 
hahahahah..sugua gaga
 
Mwanza wana Saanane island zoo, wana Bujora Museam, wana Lake Victoria na vitu vinhinr kibao vya kuvutia lakini bado hawana huo uwanja wa Chato.
Mkiwa mnashirikisha matumbo kumbukeni na akili
 


Hivi wakuu wa wilya na mikoa hakuna nafasi nyingine ili huyu jamaa aanza tumia akili yake vizuri!
 
Magufuli ni chaguo la Mungu. Na ni baraka kwa Tanzania. Tulistarehe mno, tunahitaji haya ili kuamsha akili zetu.

Mungu ibariki Tanzania
Sukari ilikuwa sh.5000 naona mungu unaemsemea wewe ni mwenye kuruhusu kushuhudia Uongo si ndio.
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
hahaaa ..mkuu hujamuelewa vyema mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…