Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Katika kumuenzi Magufuli na kuyaishi yale aliyo yaaminia, ni kuyaendeleza yale yote aliyoyapanga ili uwanza huu usigeuke Ggabolite.

RIP JPM, mimi naahidi kuendelea kukuenzi kwa kalamu yangu na maandishi yangu, na hapa nawasisitiza serikali yako wakuenzi kwa maneno na matendo.
Paskali
 
Huo uwanja utakuwa Kama wimbo wa zile enzi Barabara ya Kiburi ...Lindi. Tuanze Tena kuimba
 
Mr Paschal , je ni sawa kwa uwekezaji alioufanya jiwe nyumbani kwao bila kuangalia faida za kiuchumi kutokana na uwekezaji alioufanya hasa ukiangalia jiografia ya chato?
Very unfortunately, mimi sio mchumi..
P
 
Wewe jamaa maono yako mitume inasubiri ! kwanini usifungue kanisa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…