Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Ukisoma huu uzi huu ndio utagunduwa udikteta wa Magufuli, yani mpaka waandishi ilibidi waandike kwa mafumbo kumkosowa dikteta dhalimu.
 
Ila njaa mbaya sana unaharib mpaka mishipa ya fahamu mazima!! Hata hoja utajikuta unatoa hoja zenye njaa, ok ngoja tuone hao watalii wakimiminika!!!
 
Ukisoma huu uzi huu ndio utagunduwa udikteta wa Magufuli, yani mpaka waandishi ilibidi waandike kwa mafumbo kumkosowa dikteta dhalimu.
Mimi nilikuwa ni mkosoaji wa constructive criticism, kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa na kushauri.
JPM hakuwa dicteta dhalimu, alikuwa ni a benevolent one


P
 
Benevolent!!!???
People toiled under his regime
 
Tulisema tukaitwa wapinzani tuna wivu.

Sasa wenye mamlaka wa kusema wamesema.

.https://www.instagram.com/p/CcUyVOhtBIe/?igshid=YmMyMTA2M2Y=
Huu ni wivu tuu.
P
 
Mkuu uhali gani? Sasa tukuamini wewe au CAG?
 
Mkuu Chato International airport ilileta hoja sana mpaka sasa bado zipo na uliandika Kwa umakini naye alipitia hata KATO akasema kwamba ni siasa
 
Mkuu uhali gani? Sasa tukuamini wewe au CAG?
Kwani mimi na CAG tunazungumzia kitu kile kile?. Mimi nimezungumzia justification ya uwanja wa Chato, CAG anazungumzia ubadhirifu kwenye ujenzi ni vitu viwili tofauti.

Kuna watu wanauzungumzia huu uwanja kwa wivu tuu na kuuonea kijicho.
P
 
Kwani mimi na CAG tunazungumzia kitu kile kile?. Mimi nimezungumzia justification ya uwanja wa Chato, CAG anazungumzia ubadhirifu kwenye ujenzi ni vitu viwili tofauti.

Kuna watu wanauzungumzia huu uwanja kwa wivu tuu na kuuonea kijicho.
P
Mkuu Pascal umeongea kweli, wivu wa kuonea jicho maendeleo ya chato unawagharibu.
 
Those where the days when some notable and most respected professionals turned to ass-wipers for some few pieces of shekel.

So sad [emoji2]

"Mayala kwa kilugha chetu ni njaa"- Stone the goer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…