Naungana na DC Mwanukuzi kupinga wezi wa kuku kufungwa wezi wa mamilioni serikalini kubaki ofisini

Naungana na DC Mwanukuzi kupinga wezi wa kuku kufungwa wezi wa mamilioni serikalini kubaki ofisini

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Naungana na Andiko la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Bassila Mwanukuzi kuhusu wezi wa kuku kufungwa na wale wa fedha za umma kubaki ofisini.

"Wale watumishi walioisababishia serikali hasara ya mamilioni kwa ajili ya ubadhirifu na ambao chini ya uongozi wangu tulichukua hatua kwa muujibu wa sheria ni miongoni mwa mambo ya gharama ile inliyoizungumzia . Kama Nchi TUNAKWENDA WAPI???? Hivi tunasaidia nchi kweli??? Tunamsaidia Rais kweli???" Anahoji Basila Mwanukuzi

Wanaosimamia haki wanakua sumu Ni haki mwizi wa kuku kua jela alafu wanaoiba mamilioni ya Serikali kulindwa na wanaochukua hatua dhidi yao kushughulikiwa TAMISEMII mnawarudisha wafanyakazi hao kazini baada ya mimi kuondoka? Kwa mazingira ya 'PLEA BURGAINING ' kwamba watakua wanarudisha fedha kidogo kidogo.

Mnaopewa dhamana simamieni haki, wekeni maslahi ya Taifa mbele msaidieni Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan wasaidieni wananchi

Jengo la UTAWALA , Hospitali ya Wilaya MAKUYUNI HALI MBAYAAAAAAAA dhulma kwa wananchi mradi wa thamani zaidi 2b ambazo serikali kuu imeleta kwa wananchi wapate huduma umechezewa na hadi sasa haujaisha

TUNAKWENDA WAPI??????? 🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
 
Baadhi yao hao wabadhirifu wapo chuga huko kwenye kikao walichokiita cha faragha
Ngoja wabunu mbunu na mafekechee kibao ingawa CAG anawaumbua kila mara lakini hawaachi
 
Baadhi yao hao wabadhirifu wapo chuga huko kwenye kikao walichokiita cha faragha
Ngoja wabunu mbunu na mafekechee kibao ingawa CAG anawaumbua kila mara lakini hawaachi
Eti wanapewa kitchen party 😅mtu kahama wizara unampa kitchen party ya nini?upigaji tu,per diem za kutosha,mafuta kwenye mav8 kama yote,night allowance,nk 😅 kuna dereva wa mhe rafik yangu nimekwambia asipojenga nyumba Kali aaiv hatojenga Tena abadan
 
Eti wanapewa kitchen party 😅mtu kahama wizara unampa kitchen party ya nini?upigaji tu,per diem za kutosha,mafuta kwenye mav8 kama yote,night allowance,nk 😅 kuna dereva wa mhe rafik yangu nimekwambia asipojenga nyumba Kali aaiv hatojenga Tena abadan
Ngoja wafundwe na ninauhakika hawafundiki.
Hapo kuna wabadhirifu masangoma tunayajua kwa sura na majina yanapewa vyeo kwa kuwanga.

Ndio maana madiluu aliwaambia wajadili mambo ya waganga yanayohusu coin waachane nayo sio size yao
 
Ni shideerr ,waache wale tu ndo zamu yao, mwenyewe nikipata chance nabutua tu 😅
Ngoja wafundwe na ninauhakika hawafundiki.
Hapo kuna wabadhirifu masangoma tunayajua kwa sura na majina yanapewa vyeo kwa kuwanga.

Ndio maana madiluu aliwaambia wajadili mambo ya waganga yanayohusu coin waachane nayo sio size yao
 
Naungana na Andiko la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Bassila Mwanukuzi kuhusu wezi wa kuku kufungwa na wale wa fedha za umma kubaki ofisini.

"Wale watumishi walioisababishia serikali hasara ya mamilioni kwa ajili ya ubadhirifu na ambao chini ya uongozi wangu tulichukua hatua kwa muujibu wa sheria ni miongoni mwa mambo ya gharama ile inliyoizungumzia . Kama Nchi TUNAKWENDA WAPI???? Hivi tunasaidia nchi kweli??? Tunamsaidia Rais kweli???" Anahoji Basila Mwanukuzi

Wanaosimamia haki wanakua sumu Ni haki mwizi wa kuku kua jela alafu wanaoiba mamilioni ya Serikali kulindwa na wanaochukua hatua dhidi yao kushughulikiwa TAMISEMII mnawarudisha wafanyakazi hao kazini baada ya mimi kuondoka? Kwa mazingira ya 'PLEA BURGAINING ' kwamba watakua wanarudisha fedha kidogo kidogo.

Mnaopewa dhamana simamieni haki, wekeni maslahi ya Taifa mbele msaidieni Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan wasaidieni wananchi

Jengo la UTAWALA , Hospitali ya Wilaya MAKUYUNI HALI MBAYAAAAAAAA dhulma kwa wananchi mradi wa thamani zaidi 2b ambazo serikali kuu imeleta kwa wananchi wapate huduma umechezewa na hadi sasa haujaisha

TUNAKWENDA WAPI??????? 🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
Huyu naye mdomo mdomo tu, kwa hiyo amechukia Rais kumtengua? Aliponusa Rais anataka kumtengua ndio akaanza kujifanya anafokafoka, mara akodi watu wa kwenda nao kwenye miradi kufanya kama anakagua, alikuwa wapi tangu mwaka Jana?

Anyway, alikuwa karibu na kwa Msisi, wazee wa rocket propelled grenade
 
Nilitaka ni like lakini kuna neno lenye ukakasi hapo mkuu

Wewe like tu, yule sister alikua front kufuatilia miradi ya wananchi ghafla katumbuliwa na nzuri zaidi kuna wanangu waliwahi kutaka kumuhonga awezeshe issue fulani alikataa akatema kama m15 akasimamia haki hapo ndio nilizidi kumheshimu, na siku katumbuliwa nikawaambia wanangu yule maza bola angekomba mzigo akafanikisha jambo letu, wakacheka sana,
 
Back
Top Bottom