Nauona ushindi wa Taifa Stars hapo kesho lakini Kamati ya Ushindi ina ukakasi. Kesho tunaandika historia mpya!

Yaani hiyo kamati ni kichefuchefu aisee. Watu wasio na msaada ndo wameingizwa.
 
If..
>Tanzania 2-1Uganda [55%]
>Tanzania 1-1Uganda [75%]
>Tanzania 2-2Uganda [25%]
>Tanzania 1-0Uganda [80%]
>Tanzania 0-1Uganda [85%]
>Tanzania 0-0Uganda [10%]

Calibration..
Pass accuracy.. [error!]
Short on target accuracy..[error]
Expected Outcome: W/D/L.....
Political Outcome: W
Hint:Wachezaji mjitume Uganda hawataki masihara.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stars itashinda na Lesotho atadraw au kufungwa hivyo njia ya stars kwenda Misri kushiriki Afcon 2019 haina kikwazo.
 
Ikiwa jezi ni zile za msalaba sitaishangilia Taifa stars. Uzalendo wa misalaba siuwezi.
 
Naogopa kuongeza neno, wacha nipigie mistari na kubadili rangi!!
 
Binafsi huwa sina imani sana na Taifa stars, na huyu Amunike ndo simuelewi kabisa. Bado nafkiria mara mbili mbili kuhusu kwenda taifa leo

the Legend☆
Mm Amunike alishaganikosesha amani huwa sikosi International game iwe Taifa stars au Simba ila ile game ya Lesotho anawapanga akina mwantika na ally sonso mtoni sijui nn akina Yondani bench basi nikajua Amunike kabeti Leo nitaangalia Kwa TV tu matokeo yoyote yale sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa jezi ni zile za msalaba sitaishangilia Taifa stars. Uzalendo wa misalaba siuwezi.
Na rangi nyeupe huwa inaingiaje kwenye jezi za Stars wakati si sehemu ya rangi bendera ya taifa?Lazima kuna umikia mikia FC kwa hisani ya Tifua tifua??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…