Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
"Watu wanasema nisikufuateee,tena ikibidi nisikukumbuuuke,thamani ya kitu ajuaye mwenye chakee,niacheni chozi linidondoke.Nikikumbuka iyo sura yaaake ...."
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba anitajie hata jina la wimbo au aliyenao aniwekee hapa please .
Ni wimbo aliouimba Kwa sauti zilizolangiliwa vizuuuuuurii sana.
Msaada Please,
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba anitajie hata jina la wimbo au aliyenao aniwekee hapa please .
Ni wimbo aliouimba Kwa sauti zilizolangiliwa vizuuuuuurii sana.
Msaada Please,