Ananifanya mi nikose raha ninayemuimbiaaa...na kama basi ananisikia mpenzi soge mpenzi sogeeaaa.unaitwa NAMUIMBIA"Watu wanasema nisikufuateee,tena ikibidi nisikukumbuuuke,thamani ya kitu ajuaye mwenye chakee,niacheni chozi linidondoke.Nikikumbuka iyo sura yaaake ...."
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba anitajie hata jina la wimbo au aliyenao aniwekee hapa please .
Ni wimbo aliouimba Kwa sauti zilizolangiliwa vizuuuuuurii sana.
Msaada Please,
acha kudanganya mkuuUnaitwa Idaya
Pamoja . Furahia kazi nzuri hiyoShukurani sana mkuu,naburudika tu kwa wimbo huu ulionitumia.Asante!
Iko YouTube piaKama umebahatisha kuipakua naomba uiweke hapa mim uko kwenye waptrick inagoma..