financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kabisa Nna Asus tangu nilipokua chuo 2014 hadi leo sijawahi kufika kwa fundiTuanze na kampuni
Asus ni the best [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
i3, sio haba
Nvidia
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Labda hyo window 11, japo sijaona tatizo lake
Wakuu njaaa imenizidiaa nachukua 550K
Asus core i3 machine ya kazi with dedicated Gforce graphics card ,8GB of Ram and 500GB hard disk
nicheki 0621973591
Risiti ya hii bidhaa ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Asantee sana kwa offer yako mezani.Ikifika 450k niambie nimtume dogo aje achukue maana PC yake imekufa
Mkuu Asantee sana kwa offer yako mezani.
kinjaaa njaaa niko tayari kuitoaa kwa 530k no more no less...
Kwa matumizi ya dogo tu kutumiaa kuna acer nimeitangaza hapo juu kwa bei rahisi zaidi boss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado naiwaza hiyo core i3Wakuu hii Asus bado ipo sokoni.....Wale wazee wa heavy duty games,graphics na wazee wanaofanya video production chukua hii mashine kwa best market price hautoweza jutiaa
64bits,Nvdia Gforce dedicated graphics card,8Gb of Ram,500Gb of Harddisk with core i3 processor running smoothly on Windows 11 nakuaachiaa kwa only 550k
Nahitaji pesa wadau nicheki humu
0621973591.
Punguza mawazo boss wangu.....Hakuna ulazima wa kuwa na majibu ya kila swali unalojiuliza kichwani kiongozi...mengine ni kwa ajiri ya wengine watoe majibu na mengine ya kumuachia Mungu ..Relax chief....[emoji3][emoji3][emoji3]Bado naiwaza hiyo core i3
Ata mm core i3 kweli🤔🤔Bado naiwaza hiyo core i3