Nauza bamia kwa bei ya shambani, nipo Dar es Salaam

Nauza bamia kwa bei ya shambani, nipo Dar es Salaam

Msaga_sumu

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
289
Reaction score
291
Wakuu naleta uzi huu mimi ni mkulima wa bamia nipo Dar es Salaam nauza kwa bei ya shambani kama utakua mfanya biashara wa bamia au unafahamu madalali wa kununua mzigo kwa bei ya shambani au masoko kwa hapa dar tafadhari naomba nijuze, au kama unaweza nunua kwa jumla mzigo wote ulioshambqni tunaweza ongea tukavisit site.

Pamoja tulijenge taifa
Mawasiliano 0764292986

Screenshot_20241101_083044_WhatsAppBusiness.jpg
 
Wakuu naleta uzi huu mimi ni mkulima wa bamia nipo dar es salaam nauza kwa bei ya shambani kama utakua mfanya biashara wa bamia au unafahamu madalali wa kununua mzigo kwa bei ya shambani au masoko kwa hapa dar tafadhari naomba nijuze, au kama unaweza nunua kwa jumla mzigo wote ulioshambqni tunaweza ongea tukavisit site.

Pamoja tulijenge taifa
Mawasiliano 0764292986
View attachment 3140217
Upo dsm sehemu gani mkuu?
 
Back
Top Bottom