Nauza bata, kuku na sungura nipo Chanika

Nauza bata, kuku na sungura nipo Chanika

Rion Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
623
Reaction score
691
Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura
Napatikana Chanika kwa Singa.

Call 0746696878

 
bata tsh ngapi kaka
Bata jike mkubwa ambae yupo tayar kwa kutaga 20000
Dume mkubwa 30000 - 25000 inategemea na ukubwa
Jike wenye miez 4 bei 12000- 14000 inategemea na ukubwa
Dume wenye miez 4 bei 15000 - 20000 inategemea na ukubwa pia
Na kunawadogo hao bei tunaweza ongea ukija
 
Back
Top Bottom