Nauza bata mzinga

SOWETO_MAN

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
69
Reaction score
32
Habarini za muda huu wana jukwaa, mm ni mfugaji mdogo nikiwa najihusisha na ufugaji wa kuku pamoja na bata mzinga ila nimepata changamoto kidogo ya soko la bata mzinga ndio nikaona ni wakati sahihi wa mimi kuja kwenye jukwaa hili kutafuta mtu yoyote atakae hitaji kununua bata hawa, ninao madume matatu yenye umri wa mwaka mmoja sasa na jike mmoja,,dume anakwenda kwa sh.150,000 ...jike anakwenda kwa 90,000 tu....maelewano yapo na napatikana kwa namba hii 0621599120( niko dodoma mjini)
 
Bata mzinga inaitwaje kwa kiingereza? Turkey au picokok
 
Mbona kama wanamatege kiongozi? Kama uyo dume jike
 
Mimi nataka tausi
Mkuu
Tausi Ukikutwa Naye Hata Yai Lake Ni Kifungo Chap Chap
Hata Mzilankende Alipompa JK, Mwinyi, Ilikuwa Kwa Maandishi Kuhakikisha Baadaye Haiwi Shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…